WAISLAM MSITOE FATWA BILA YA ELIMU – SHEIKH OMAR BIN HAFIDH


WAUMINI wa dini ya Kiislam wametahadharishwa kutoa maamuzi ya usuluhishi wa masuala ya dini yao bila ya kuwa na elimu ya uelewa wa mambo ya dini ambayo msingi wake umejengwa na wanazuoni waliopita.
Continue reading “WAISLAM MSITOE FATWA BILA YA ELIMU – SHEIKH OMAR BIN HAFIDH”

Waislam watakiwa kuachana na vyombo vya habari vinavyochochea zinaa.


Waislam wametakiwa kujiepusha na vyombo vya habari vinavyochangia kuenea kwa zinaa.
Hayo yamesemwa katika Ukhty Ramla Abdulrahman alipokuwa akitoa mada juu ya zinaa na madhara yake katika shura ya walimu wanawake wa madrasa za Qur-an iliyofanyika Disemba 5 katika ukumbi wa Al Madrasat Falaah Kijangwani. Continue reading “Waislam watakiwa kuachana na vyombo vya habari vinavyochochea zinaa.”

“Vijana zidisheni mapenzi kwa Mola wenu” UKUEM


Vijana wametakiwa kuzidisha mapenzi kwa mola wao kwa kufuata maamrisho ya dini yao na kuacha makatazo.
Hayo ameyasema Mjumbe wa Kamati ya Uongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Kiislam Uchumi Elimu na Maendeleo Wanawake Ukhty Fatma Salim Saleh alipokuwa akifunga semina ya siku tano ya mafunzo ya Kiislam kwa wanafunzi wanawake waliomaliza kidatu cha nne huko katika Chuo cha Wanawake cha Malezi ya Kiislam Muslim Women Academy (MUWA) yaliyofanyika Novemba 7 Chukwani. Continue reading ““Vijana zidisheni mapenzi kwa Mola wenu” UKUEM”

Wanawake wa Kiislam watakiwa kuutumia afya zao kwa ajili ya Allah


Waislam wametakiwa kuzitumia vizuri afya zao wakiwa wazima kwa kukithirisha kufanya ibada kabla hayajawafikia mauti au maradhi.
Wito huo umetolewa na Ukhty Mwanaate Juma alipokuwa akiwasilisha mada juu ya Jichumie mambo matano kabla ya matano katika Shura ya walimu wanawake wa madrasa za Qur-an iliyofanyika Novemba 7 huko katika ukumbi wa Al Madrasat Falaah Kijangwani. Continue reading “Wanawake wa Kiislam watakiwa kuutumia afya zao kwa ajili ya Allah”